Showing posts with label Soka. Show all posts
Showing posts with label Soka. Show all posts

Dili la Msuva Kutua Yanga Baba Yake Afunguka Ukweli

 

Kumekua na tetesi nyingi kuhusu Simon Msuva nyota wa zamani wa Yanga, Akihusishwa na kujiunga na Klabu ya Yanga Sc.

Taarifa zilizopo ni kwamba mzazi wa Msuva amesema tetesi za msuva kwenda yanga yeye anazo.

Mzazi huyo ambaye ni msimamizi wa staa huyo wa zamani wa Yanga, amekiri kusikia mwanae akihusishwa na Yanga  lakini amesema anachojua kwa sasa akili ya Msuva haipo Tanzania.

Bao la Kwanza la Yanga dhidi ya KMC Ilikua Faulo

 



"Ushindi wa jana wa Yanga 70% percent umetokana na makosa ya KMC, na Ubora wa Yanga ni kwa 30% percent"


"KMC walikuwa na poor defending, tazama Aziz Ki alikuwa hakabwi vya kutosha.. Magoli (2) ya kwanza yametokana na mabeki kushindwa kukaba vya kutosha"


"Halafu ile kona iliozaa bao la (1) ilioanzishwa na Aziz Ki ilikuwa faulo kabla haijatokea, lile halikustahili kuwa goli"


TAZAMA HAPA


©️ Geof Lea

Mchambuzi wa Efm radio


READ MORE| SOMA ZAIDI


Msimamo Wa Ligi Kuu Tanzania NBC Premier League - 23/08/2023

 




MSIMAMO:  Mabingwa watetezi, Yanga Sc waanzia nafasi ya nne; Hii ni baada ya Kuifunga KMC

Yanga SC 5 - 0 KMC 


TAZAMA MAGOLI YOTE HAPA




Yanga Vs KMC - Highlights ya Magoli Yote

 


Dakika 45 za burudani zilimalizika katika dimba la Azam Complex, Chamazi, Wananchi wanaupiga mwingi mpaka unamwagika.


HT: Yanga SC 1-0 KMC FC

⚽ Job 17'


Ni katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara.


Dakika 90 zumemalizika Kwa Magoli 5-0


FT: Yanga SC 5 -0 KMC FC


TAZAMA MAGOLI YOTE HAPA


TFF NA ACT WAZALENDA WAMINYANA - KANUNI MPYA

 


Kufuatia taarifa ya Bodi ya Ligi juu ya maboresho ya kanuni ambapo imeweka marufuku kwa mchezaji kuingia mkataba binafsi wa udhamini na mshindani kibiashara wa mdhamini mkuu wa Ligi, Chama cha ACT Wazalendo kimeshangazwa sana kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) kupitia bodi ya Ligi kwa kukubali kuingiza masharti haya katika wakati ambao nchi inapambana kuona michezo inaenda kuinua maisha ya vijana wengi kwa kutoa ajira na kukuza maslahi ya wachezaji.


Aidha ACT Wazalendo kupitia kwa Kamati ya Kuisimamia Serikali ya Wasemaji wa Kisekta (Baraza Kivuli la Mawaziri) imesema “tunaungana” na wadau wengine kupinga maboresho hayo ya kanuni kwasababu zifuatazo:-


i) Kanuni hii inawanyima wachezaji uhuru na haki binafsi katika kujitafutia kipato. Mchezaji ni raia wa kawaida anayeweza kushiriki kwenye matangazo binafsi na kampuni au taasisi yoyote ambayo haikiuki haki za kipekee (exclusive rights) za Mdhamini Mkuu wa Ligi.


ii) TFF katika kununi ya 16 (1.4, 5,6) imeweka makatazo na utaratibu wa matangazo yasiyokuwa ya Mdhimini Mkuu ambapo vifungu vyote vimezuia maeneo ya uwanja pamoja na matumizi ya nembo ya mdhamini Mkuu kwenye vifaa vya kuchezea vya timu husika. Ni wazi kwamba haki zote kwa mdhamini mkuu zimeorodheshwa kuongeza kifungu hiki ni kukandamiza maslahi ya wachezaji. 


iii) Maboresho ya kanuni hayajatoa tafsiri ya shughuli zitakazo chukuliwa kuwa ni kuingiliana na zile za Mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu. Hii inaweza kutoa tafsiri tofauti tofauti au inaweza kutumika vibaya kuzuia matangazo kwa wachezaji.


iv) Kanuni imekuja bila kuchukua uzoefu kutoka maeneo mbalimbali duniani katika kusimamia haki na maslahi ya wachezaji linapoja suala la udhamini. Uzoefu wa wachezaji wakubwa Duniani wamekuwa wakiingia mikataba binafsi na kampuni tofauti tofauti ambazo zinamgongano wa kimaslahi wa karibu. Mdhamani Mkuu hawezi kupewa haki ya Uhodhi hata kwa maisha ya wachezaji. Hii haikubaliki.


Hivyo basi, ACT Wazalendo kupitia kwa Msemaji wa Sekta ya Utamaduni, Sanaa na Michezo tunaitaka TFF na Bodi ya Ligi kuondoa marekebisho haya mapya ili kulinda maslahi ya wachezaji.


Pili, tunaitaka kuwepo kwa ushirikishaji katika masuala yote ya michezo yanayohusu pande mbalimbali. 



Source: KitengeSpo

Ratiba Ya Mechi za Leo NBC Premier League - 23/08/2023

 


Yanga Vs KMC Live


๐— ๐—”๐—ง๐—–๐—›๐——๐—”๐—ฌ๐Ÿ”ฐ


๐Ÿ† NBC Premier League 

⚽️ Young Africans SC Vs KMC FC

๐Ÿ“† 23.08.2023

๐ŸŸ Azam Complex, Chamazi

๐Ÿ•– 1:00 Usiku 


Kuelekea Mechi Yetu v KMC Kwenye Head To Head Tangu Timu Ya KMC ilipopanda Daraja Na Kucheza Ligi Kuu Tanzania Bara 


Wamekutana Mara       :10

Yanga Kashinda Mara  :7

KMC Kashinda Mara    :1

Wametoka Sare Mara   :2

Yanga Magoli Kufunga :13

KMC Magoli Kufunga    :5

>> SOMA ZAIDI | READ MORE...

๐ŸŸ️ ⚽ Leo Tazama mpira live kupitia Simu,

 Bonyeza Link Hapa | NI BURE

๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

https://bit.ly/Watch-Tazama-video-Hapa


©Sokalive 

Siri Ya Yanga na Bruno Ngomezi Yavuja

 


BRUNO Gomez, ni mingoni mwa wachezaji ambao wapenzi wa Yanga  walitamani kumuona kikosini mwao  msimu huu, chanzo changu ndani ya Singida  FG, kimefunguka kuwa pamoja na watu wa Yanga kumtamani Bruno,  lakini Mbrazil huyo hakubaliki na uongozi wa juu pamoja na makocha wao.


“Kuna viongozi wa juu kabisa Yanga hawamkubali Bruno. Wanasema bado anahitaji muda zaidi wa kukomaa  kumudu kucheza Yanga japo wanaukubali uwezo wake. Nadhani  hata makocha (wa Yanga), hawamkubali sana ndio maana hukuona nguvu ikiwekwa kumsajili,” 


Kocha wa Singida, Hans van der Pluijm  alipoulizwa iwapo kiungo huyo ana  nafasi katika kikosi cha Yanga, alisema:  “Bruno ni mchezaji mzuri, ila bado anahitaji kukua zaidi kuweza kuhimili kucheza Yanga. Kuchezea Yanga au  Simba si kitu kidogo, kule unahitaji uwe  umekomaa hasa kuweza kukabiliana na presha za mchezo na mashabiki. “Kule  Yanga anaweza kukosea mara moja,  mara mbili, mara tatu... mashabiki  wakamzomea na kumtoa kabisa  mchezoni, hivyo anatakiwa kubaki hapa  (Singida) ili aendelee kukomaa zaidi.

SOMA ZAIDI...

.

.

.

Simba Kufanya Usajili Wa Zimamoto

 


CHANZO makini kutoka ndani ya Simba kimendokeza kwamba Simba inatarajia kufanya usajili wa ghafla, chanzo hicho kimeeleza sababu ambazo zimewashawishi benchi la Ufundi la Simba kufanya usajili wa kushtukiza wa nyota wa zamani wa Azam na Taifa Stars, Shaaban Chilunda.


Jambo la kwanza lilioishawishi Simba kumsajili hofu ya majeraha hasa Bocco na Moses Phiri ambayo msimu uliopita yalichangia wakose idadi kubwa ya mechi na hivyo wanaamini kama huyu atakuwa fiti anaweza kuziba. Jambo la pili ni uzoefu alionao wa mashindano ya ndani na mazingira ya soka la Tanzania ambao ameupata kwa kucheza muda mrefu Azam.

Yanga Yanasa Saini Ya Kiungo Mwingine

 


Yanga Yanasa Saini Ya Kiungo Mwingine

Klabu ya  Yanga SC imefanikiwa kuinasa saini ya kiungo Pacรดme Zouzoua raia wa Ivory coast Kutoka Asec mimosas.


Pacรดme Zouzoua amewasili leo asubuhi nchini Tanzania kutokea Ivory coast akiwa na wakala wake, Wameshakamilisha zoezi la kusaini mkataba mchana huu salamander tower.


Taarifa za ndani ya klabu hiyo zinaeleza kuwa mchezaji huyo anatarajiwa kupewa namba 10

Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa beki wa kulia Kouassi Attohoula Yao

 



๐Ÿšจ OFFICIAL & CONFIRMED:

Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa beki wa kulia Kouassi Attohoula Yao kutoka Asec kwa Mkataba wa mwaka mmoja.

Yao (26) ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ช anahesabika kuwa beki bora wa kulia pia na ubora wa kucheza kama winga mshambuliaji na kupiga krosi  za mabao.

MFAHAMU KOUASSI ATTOHOULA.

Jina kamili: KOUASSI ATTOHOULA YAO.

Watu wa nyumbani kwao wanapenda kumuita kwa jina la KOUASSI ATTOHOULA YAO.

Raia wa Ivory coast

....Alizaliwa Anyama,Ivory coast

mnamo Dec 20,1996 (Age 26)

Ana urefu wa 1.68m.

Wakala :VV Consulting.


⬛ Nafasi anayochezea ni beki wa kulia

.... Nafasi nyingine anayoweza kucheza ni beki wa kushoto/winga.


Alianza maisha ya soka kwenye akademi ya Mimosas na kuitumikia akademi hiyo kwenye vikosi vya U17 na U19.


✅Julai  1,2017 akasajiliwa na klabu ya  Williamsville ya nchini humo akitumikia kwa miaka miwili.

✅Akauzwa kwenda klabu ya O.Khouribga ya nchini Morocco Jan 16,2019 aliitumikia kwa miezi 6 kisha akatolewa kwa mkopo kwenda kwenye klabu ya  Kawkab Marrak mnamo Julai 17,2019.


✅ Mnamo Sep 15,2019 baada ya mkataba wa mkopo kuisha  alirejea kwenye klabu yake ya O.Khouribga.

Na mkataba wake ndani ya klabu hiyo uliisha miezi miwili baade.


✅๐ŸŸกNdipo akajiunga tena na klabu ya Asec Mimosas ya Wakubwa Nov 9,2020.


 MASHINDANO YA CAF KAMA MCHEZAJI

✅ Amecheza jumla ya mechi 35 ya mashindano haya ya CAF ngazi ya vilabu.

...CAFCL

Amecheza mechi 27, kati ya hizo ni mechi 5 tu alitokea benchi.

..... CAFCC

Amecheza mechi 8, kati ya hizo ni mechi 1 tu alitokea benchi.


Akiwa ligi ya Morocco alicheza mechi 9 na kufunga goli 1.


Aug 27 mwaka jana akiwa na umri wa miaka 25,miezi 8 na siku 7 alicheza mchezo wake wa kwanza kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Ivory Coast chini ya kocha Jean Louis Gasset.

Mpaka sasa ameichezea hiyo ya taifa (michuano ya CHAN,na timu ya taifa ya pamoja) michezo 6.


Aliwahi kuwa beki bora wa msimu wa ligi kuu Ivory Coast 2021/22.

 Alikuwa miongoni kwa walioiunda kikosi bora cha msimu ligi kuu ya Ivory Coast kwenye msimu wa 2021/22 na msimu uliopita wa 2022/23


 Mshindi wa Makombe mawili ya Ligi kuu Ivory Coast

 Mshindi wa  Makombe mawili ya FA.


Klabu Ya Simba SC Tanzania imemtambulisha rasmi Fabrice Ngoma.

 


... || BREAKING
Klabu Ya  Simba SC Tanzania imemtambulisha rasmi Fabrice Ngoma.

Klabu ya Simba imethibitisha kumsajili kiungo mkabaji, Fabrice Ngoma kutoka kwa vigogo wa Sudan, Al Hilal Omdurman kwa mkataba wa miaka miwili.

Ngoma (29) raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye pia anamudu kucheza nafasi ya beki wa kati akiwa na uzoefu na michuano ya Kimataifa amewahi kuvitumikia vilabu vya AS Vita ya DRC na Raja Casablanca ya Morocco.


MFAHAMU FABRICE NGOMA

Amesajiliwa na klabu ya Simba akiwa huru (Free agent) baada ya mkataba wake na Al Hilal kumalizika 1 July 2023.

◉ Born — 22 January 1994 (29)
◉ Citizenship — Dr Congo ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ
◉ Height — 1,88 m (feet 6.2in)
◉ Position — Central midfielder

Mwamba ameupiga katika klabu mbalimbali kama ifuatavyo ;

◉ 22/23 — Al Hilal ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ
◉ 22/23 — Al Fahaleel SC ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ช
◉ 19/20 — Raja Casablanca ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ
◉ 17/18 — AS Vita ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ
◉ 16/17 — Ifeanyi Ubah ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ
◉ 15/16 — Itancheite ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ

Stats career

๐Ÿ‘• 05 — Al Hilal ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ
๐Ÿ‘• 04 — Al Faheel SC๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ช
๐Ÿ‘• 88 — Raja Casablanca ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ
๐Ÿ‘• 23 — AS Vita ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ
๐Ÿ‘• 58 — Ifeanyi Ubah ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ

๐Ÿ“ Amejiunga na klabu ya Simba kwa mkataba wa miaka miwili.



Klabu ya Yanga SC imemnunua winga wa AS Maniema, Maxi Mpia Nzengeli

 


Usajili Yanga SC


◉ Klabu ya Yanga SC imemnunua winga wa AS Maniema, Maxi Mpia Nzengeli (23) kwa USD $ 165,214 (Tsh 400 Million)


◉ Amesaini Mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu ya Yanga 


◉ Maxi  (23) anamudu vema kucheza winga zote mbili na Kiungo Mshambuliaji anakasi na uwezo mkubwa wa kumiliki mpia that's why Congo wanamuita (Mbappe) 


◉ Ni mchezaji wa timu ya Taifa ya DR Congo  amecheza kwenye michuano ya CHAN akiwa & Zemanga Soze wa TP Mazembe.



◉ Nahodha huyo wa AS Maniema msimu wa 2020/21 alitwaa tuzo ya mchezaji bora wa msimu (MVP) katika ligi kuu ya Dr Congo.

Jezi Mpya Za Yanga Msimu Mpya Wa 2023/2024


Kama Ulikua hujaziona jezi mpya za Yanga SC hizi ndio zenyewe.



 Mbunifu wa jezi ya Nyeusi ya Yanga SC kwa msimu huu ameeleza maana ya jezi hiyo huku akijikita kwenye Michoro iliyopo, ameeleza kua;

Jezi ya nyeusi, ukiangalia inamichoro ya 88 na michoro hiyo ilivyokaa imekaa katika mafungu manne ambayo yanamadisha medali nne walizopata Klabu ya Yanga SC


Pia Ameeleza kua ndani ya michoro hiyo kuna Nyota, ambazo zinaeleza kizazi cha nyota au dhahabu ambacho ni Yannga SC ambayo imepitia wakati mzuri mzimu huu.


Kwa Chini kuna nyuzi mzunguko na nembo ambayo ina "Y"; huo mzunguko ulijishikiza katika nembo inawakilisha medali Yanga SC ilizopata na Hiyo Y inamanisha Yanga SC


Je, una maoni gani?

Mbunifu wa jezi ya Yanga SC kwa msimu huu ameeleza maana ya jezi ya njano huku akijikita kwenye Michoro iliyopo, ameeleza kua;

Jezi ya njano maana yake inaelezea matokeo mazuri ya kutokufungwa kwa klabu ya yanga mara nyingi na kutwaa ubigwa


Lakini pia ameeleza kuwa, ukiangalia michoro iliyopo ni ya mchezo mahili wa kupanga matofali ili yasoporomoke, mchezo ambo unahitaji akili na na weredi wa hali ya juu. 


Hiyo inamanisha mipango mathubuti iliyofanywa na Aliyekua kocha wa Yanga SC Nasreddine Nabi ya kuweka vizuri timu hiyo na kuvunja rekodi ya kutwaa ubingwa kwa msimu uliopita




Hizo ndizo jezi za Yanga Msimu huu wa 2023/2024

Breaking: Ukweli Kuhusu Mayele Na Yanga SC

 


Fahamu ukweli kuhusu mayele kuondoka Yanga Sc


Mayele mwenye mkataba wa mwaka mmoja na Yanga amegoma kusaini mkataba mpya ambao ungemfanya awe analipwa pesa ndefu kuliko mchezaji yeyote ndani ya timu hiyo huku akidaiwa amepagawa na ofa nono kutoka Esperance ya Tunisia, Zamalek, Pyramids za Misri,  timu za ubelgiji na Qatar.


Kikao hicho kilihusisha pia wasimamizi wa mchezaji huyo ambao wanapushi staa huyo akiwashe Arabuni ambako kuna mkwanja mnene na wako tayari kununua mkataba uliosalia Yanga



Bado hawajafikia muafaka wa kusalia au kuondoka ingawa tajiri ahidi dau nono lakini juzi mchana alionekana kwenye sehemu Jijini Dar es Salaam akipiga picha za matangazo ya uzi mpya wa Jangwani ambao umetangazwa jana usiku nchini Malawai.


Mshambuliaji huyo kupiga picha na uzi wa Yanga kwa ajili ya tangazo ni jambo ambalo linaashiria lolote linaweza kutokea.


Credit: Mwanaspoti

Al Hilal Yawashitaki Wachezaji Wanaotajwa Simba SC Azam FC



Al Hilal Wamewashitaki wachezaji watatu waliovunja mkataba ka klabu hiyo bila kufuata utaratibu.


Wachezaji waliositisha mikataba hiyo ni Fabrice Ngoma anayehusishwa Simba, Lamin Jarjou akitajwa Azam FC pamoja na Ibrahim Imoro ambaye bado haijajulika anataka kutimkia timu gani.


Ngoma anadaiwa kusitisha mikataba wake kinyume na taratibu na hiyo kutokuwa na mwanzo mbaya ndani ya timu hiyo kutokana na kuwa na majeruhi wa mara kadhaa.


Kiungo huyo tayari yupo Dar es Salaam akisubiri barua yake ya kumalizana na Al Hilal na wakati wowote anaweza kusaini Simba tofauti na ilivyozushwa kuwa atasaini Yanga au Azam FC.


Wachezaji hao ambao wapo chini ya kocha Florent Ibenge wako njiapanda kwani hatima ya maombi yao ya kusitisha mikataba haijafika tamati.

Mchezaji Aliyesajiliwa Simba Sc ni Mauzauza

 


Ngoma Siyo kiwango cha simba sc, ni kama Sawadogo tu.


"Kwa kiwango cha Fabrice Ngoma na malengo ya Simba nadhani pale wamezika tu pesa zao kama ilivyokuwa kwa Sawadogo,nadhani Simba wangetafuta mchezaji mungine tu lakini Kwa Ngoma wametupa pesa zao" @alexngereza._


Mbali na hayo zipo tetesi ni kuwa Ngoma alikua hajamalizana na mabosi wake na hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kufunguliwa kesi katika vyombo vinavyohusika na wachezaji. 

Simba Sc Parting With Three Players

 

Our Soccer - Simba Sc Parting With Three Players


Simba Club have announced to part with three of their players at the same time which are Medie Kagere, Chris Mugalu and Taddeo Lwanga.


All the players are foreigners where Mugalu is from DR Congo, Kagere from Rwanda and Lwamga from Uganda.


Kagere has already joined Singida Big Stars while Lwanga and Mugalu have not yet confirmed which clubs they are joining