SIMBA YAPATA MABILIONI KUTOKA M-BET

 

Sehemu Ya Maelezo ya Mkurugenzi wa masoko M-Bet,


"M-Bet ni kampuni namba moja ya michezo ya kubashiriki sasa tunashirikiana na klabu namba moja Tanzania."


"Tunaamini kama M-Bet tukishirikiana na Simba tutajitangaza ndani na nje ya Tanzania."


"Mwaka wa kwanza - Bil 4.670

Mwaka wa pili - Bil 4.925

Mwaka wa tatu - Bil 5.205

Mwaka wa nne - Bil 5.514

Mwaka wa tano - Bil 5.853


Jumla ni Bilioni 26, milioni 168 na Tsh. 5,000."- Mkurugenzi wa Masoko wa M-Bet, Allen Mushi. #SimbaNaMBet #SimbaWeek #SimbaDay #NguvuMoja

No comments:

Post a Comment