Kocha wa Yanga Nabi Agombaniwa



TETESI: Klabu ya FAR Rabat ya Morocco inamtaka Kocha Yanga SC Nasreddine Nabi kwa ajili kuchukua mikoba ya Sven Vandenbroeck klabuni hapo.


Miamba hiyo ya Morocco ipo tayari kumlipa kocha huyo raia wa Tunisia mshahara wa dola 40,000 (zaidi ya Tsh milioni 93) kwa mwezi ili kumng’oa  kunako klabu ya Yanga.


Source: #KitengeSports

No comments:

Post a Comment