FT: Simba Sc Vs Al-Kholood - Simba Yapata Ushindi



Kikosi cha Simba kimecheza mechi ya mwisho ya kirafiki nchini Misri leo dhidi ya Al-Kholood kutoka Saudi Arabia na kushinda mabao 2-0 yakifungwa na Gadiel Michael na Augustine Okrah. Timu hiyo inatarajiwa kurejea Dar Agosti 4 kwa ajili ya maandalizi ya Simba Day.


#mwanaspoti

#mwanaspotiupdates 

#tunawezeshataifa

No comments:

Post a Comment