Uzinduzi wa Jezi Ya Simba, Itatengenezwa Ulaya Siyo Asia



Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaz Mangungu amesema jezi za timu hiyo msimu wa 2022/23 zitazinduliwa wiki hii na zitatengezwa Ulaya badala ya Asia.



No comments:

Post a Comment