Simba Sc Kucheza na Al-Kholood Misri



Klabu Simba imethibitisha kuwa itacheza mchezo wake wa nne wa kirafiki Mjini Ismailia, Misri dhidi ya klabu ya Al-Kholood.


Simba SC imecheza mechi tatu za kirafiki mpaka sasa Nchini Misri ikishinda mmoja, sare moja na kipigo mara Moja.


#Michezo

No comments:

Post a Comment