Klabu Simba imethibitisha kuwa itacheza mchezo wake wa nne wa kirafiki Mjini Ismailia, Misri dhidi ya klabu ya Al-Kholood.
Simba SC imecheza mechi tatu za kirafiki mpaka sasa Nchini Misri ikishinda mmoja, sare moja na kipigo mara Moja.
#Michezo
No comments:
Post a Comment