Kupitia ukurasa wake wa Instagram msemaji wa klabu ya @simbasctanzania @ahmedally_ ameandika kuwa.
“Nimevumilia nimeshindwa acha tu niseme NI MBAYAAA
Vaa lakin ukijua kuwa umevaa kitu kibayaaaaa na ukivaa unanyata
Na Sidhani kama KAF watakubali Uniform zenye miundombinu maana nimeona mpaka machinjio ya Vingunguti na Dampo la Kinyamwezi
Ni mbayaa mpaka aibu tunaona sisi”

No comments:
Post a Comment