Yanga Yafunga Magoli 9 huko Avic, Mayele atetema ...

 




YANGA imecheza mnchezo wa pili wa kuijipima nguvu wakishusha kipigo kizito kwa Friends Ranger wakishinda kwa mabao 9-0.


Yanga Katika Ukrasa Wao Wa Facebook wamesema,

"Leo asubuhi tumecheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Friends Rangers na kuibuka na ushindi wa magoli 9-0 


Wafungaji: 


Mayele - Goli 1⚽️

Aucho - Magoli 2 ⚽️⚽️

Kambole - Goli 1 ⚽️

Nkane - Goli 1 ⚽️

Clemence - Magoli 2 ⚽️⚽️

Jesus - Goli 1 ⚽️

Yacouba - Goli 1⚽️...."



No comments:

Post a Comment