BONDIA MANDONGA APIGWA



BONDIA MANDONGA APIGWA KWA KO


Bondia Karim Mandonga amepoteza dhidi ya Shabani Kaoneka, Raundi ya 4 kwenye Uwanja wa Majimaji, Songea


Baada ya pambano Mandonga amesema: "Ni ajali kazini lakini nipo tayari kurudiana na mpinzani wangu."


No comments:

Post a Comment