Soka: Wachezaji 9 Wa Simba SC 9️⃣ wameitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars



 Wachezaji wetu 9️⃣ wameitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars 🇹🇿 kujiandaa na michezo ya kufuzu CHAN.

▪️ Aishi Manula

▪️ Beno Kakolanya

▪️ Shomari Kapombe

▪️ Mohamed Hussein

▪️ Kennedy Juma

▪️ Jonas Mkude

▪️ Mzamiru Yassin

▪️ Kibu Denis

▪️ Habibu Kyombo






#NguvuMoja

No comments:

Post a Comment