Taifa Stars Yafuzu kwenda Hatua inayofuata Baada Ya Kupata ushindi Leo



Timu ya Taifa Tanzania imesonga mbele kwenda hatua inayofuata katika michuano ya kufuzu kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN.


Stars imefuzu kwa matokeo ya jumla ya 3-1 kufuatia ushindi 1-0 kwenye mchezo wa kwanza na ushindi wa 2-1 katika mchezo wa marudiano.


Magoli ya Stars leo yamefungwa na Abdul Sopu na Dickson Job aliyefunga kwa mkwaju wa penalti.


No comments:

Post a Comment